Wednesday, September 26, 2012

Mkutano wa CHADEMA Jijini Arusha, Sept 25, 2012

 

Mkutano wa chama cha demokrasia na maendeleo katika picha, mkutano huo umefanyika baada ya ukuzuiwa kwa takribani siku nne kwasababu mbalimbali ikiwemo kunyimwa uwanja wa NMC na Leo umefanyika kwenye stand ndogo ya Nduruma karibu kabisa na hospitali ya Levolosi..

Ikumbukwe chama cha CUF juzi jumapili kilishindwa kufanya mkutano wake kwenye uwanja wa soko la Mbauda baada ya kukomea watu kumi na moja tu.




Kamanda Lema akiwa na Kamanda Joshua Nasari..


Kamanda Nasari akiongea na wakazi wa mjini Arusha...


Allly Bananga huyu ni kamanda aliyetokea kwa magamba anakuja kwa fujo sana kifupi nijembe...
Lema amesema kuwa uwanja wa kilombero ni wa machinga, na ule wa nmc kupewa machinga wameingizwa chaka!

Anasema serikali watuonyeshe uwanja wa wazi kwa wana Arusha!

Nmc hakuna choo, hakuna social facilities, yaani ni kama wamewa dump.

Mvua ikinyesha nmc hakufai, machinga wote warudi mjini!
Tanzania hakuna usalama wa taifa, kuna usalama wa majambazi

Lema: Makamanda hamuhitaji degree wala phd kudai haki zenu

Tarehe mbili mwezi wa kumi tutakuwa mahakamani, watakuwepo makamanda wa chama akina lissu, mbowe na dr.
  1.   Click image for larger version. 



Name: DSCN2258.JPG 

Views: 0 

Size: 1.17 MB 

ID: 66072   Click image for larger version. 



Name: DSCN2260.JPG 

Views: 0 

Size: 1.15 MB 

ID: 66069   Click image for larger version. 



Name: lema-25-9-2012-3.jpg 

Views: 0 

Size: 185.1 KB 

ID: 66086   Click image for larger version. 



Name: bananga-25-9-2012.jpg 

Views: 0 

Size: 162.0 KB 

ID: 66085   Click image for larger version. 



Name: arusha-25-9-2012.jpg 

Views: 0 

Size: 120.3 KB 

ID: 66087   Click image for larger version. 



Name: lema-25-9-2012-2.jpg 

Views: 0 

Size: 169.2 KB 

ID: 66081   Click image for larger version. 



Name: lema-25-9-2012-0.jpg 

Views: 0 

Size: 207.0 KB 

ID: 66082   Click image for larger version. 



Name: lema-25-9-2012-1.jpg 

Views: 0 

Size: 178.3 KB 

ID: 66083  Kwa mwendo huu kitaeleweka  tu

0 Maoni:

Post a Comment