Steven KP
  • MWANZO
  • MAKALA
  • BURUDANI
  • MICHEZO
  • UCHUMI NA JAMII
  • SIASA

Wednesday, May 30, 2012

Wabunge Pamoja na Viongozi wa tawi la chadema Washington DC Watembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani ~ MTAA KWA MTAA

Imeandikwa 6:10 PM na Steven Elias
Wabunge Pamoja na Viongozi wa tawi la chadema Washington DC Watembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani ~ MTAA KWA MTAA
Kuhusu:
Newer Post Older Post Home

0 Maoni:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)
Facebook Popup Widget

Kuhusu

Siasa (2) Afrika mashariki (1) Kimataifa (1) Kitaifa (1) Zitto Kabwe (1)

Chat nami hapa

Steven Kp

Create Your Badge

Zinazosomwa sana

  • Spanish PM Mariano Rajoy urges more cuts amid protests
    Miners and their supporters marched through central Madrid for a second time...
  • Silaha za Al Shabaab zanaswa Puntland
      ...
  • mtwana's Avatar Member Array Join Date : 13th October 2012 Posts : 91 Rep Power : 320 Likes Received 12 Likes Given 0 Default Chadema:Serikali iandae upinzani kuingia Ikulu SERIKALI imetakiwa kuandaa mfumo wa kikatiba utakaowezesha chama cha upinzani kuongoza iwapo kile kinachotawala kitaondolewa madarakani.Kauli hiyo ilitolewa jana na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe alipokuwa akihutubia mikutano ya kampeni ya uchaguzi mdogo wa udiwani katika Kata za Mpapa, wilayani Momba na Myovizi, Wilaya ya Mbozi, mkoani Mbeya. Alisema kutokana na vuguvugu la siasa za mabadiliko zinazoendelea nchini, ni wakati mwafaka nchi ikawa na mfumo wa kikatiba na sheria kwa ajili ya kusimamia mabadiliko ya uongozi kufanyika kwa amani ili kuepusha nchi kuingia katika vurugu na mkanganyiko wa kisiasa. Mbowe alisema ingawa hiyo inaweza kuonekana kuwa ni dhana mpya, kutokana na umuhimu wake kwa ajili ya mustakabali mwema wa Taifa, ni vyema Watanzania wakaanza kuitafakari.
Alitola mifano wa Ghana ilivyopitia misukosuko kutoka utawala wa Jerry Rawlings kwenda chama cha upinzani cha Rais John Kufour. Akiwanadi wagombea wa Chadema katika maeneo hayo, Mbowe alisema ni hatari kwa nchi kama Tanzania ambayo sasa inapitia kwenye wimbi kubwa la mabadiliko, kukosa mfumo huo wa kuhakikisha mabadiliko ya mpito kutoka utawala wa Serikali moja kwenda nyingine yanafanyika kwa amani na kulinda masilahi ya nchi bila vurugu. “Ni muhimu sana kuwa na sheria itakayohakikisha 'transition' (kipindi cha mpito) kutoka Serikali ya chama fulani kwenda chama kingine au Serikali moja kwenda Serikali nyingine, kufanyika kwa amani na kwa kuhakikisha masilahi ya umma na nchi yanazingatiwa,” alisema na kuongeza: “Lazima tuepuke hali kama hiyo. Wenzetu wale (Ghana) walijifunza, walipoingia madarakani wakaamua kutunga sheria ya kusimamia ‘transition period’ kutoka uongozi wa Serikali moja kwenda nyingine.” “Watanzania wanaweza kujiuliza kwa nini Marekani inachukua siku 72 kwa Rais kuapishwa na kukabidhiwa rasmi mamlaka ya kuongoza nchi tangu achaguliwe? Ni kwa sababu kuna vitu vya muhimu sana vya kusimamiwa na kufanyiwa kazi kabla utawala mpya haujakabidhiwa Ikulu.” Mbowe alisema hapa nchini upo mfano mzuri wa madhara ya kukosekana kwa sheria ya namna hiyo ya kusimamia kipindi hicho cha mpito. Mbowe ambaye pia ni Mbunge wa Hai, alidai kwamba sehemu ya mabilioni ya ufisadi katika Akaunti ya Madeni ya Nje (Epa) yalihamishwa kutokana na kukosekana kwa mfumo huo. Mwenyekiti huyo wa Chadema alisema wakati Marekani inachukua takriban siku 72 tangu uchaguzi na uongozi mpya kukabidhiwa madaraka ya kuongoza nchi, Tanzania inachukua wastani wa saa 48 pekee, akisema hali hiyo ni hatari kwa nchi kwani, kuna masuala ya msingi ambayo yanahitaji muda wa kutosha katika kufanya makabidhiano kutoka Serikali moja kwenda nyingine. “Ni wakati mwafaka kuanza kufikiria kuwa na mfumo huu wa kikatiba na kisheria. Huwezi kutumia saa 48 tangu uchaguzi kufanyika kumkabidhi Rais mpya madaraka. Kwanza kwa muda huo nani anasimamia kikamilifu rasilimali za umma, nini hatma ya watumishi wa umma. Kuna masuala ya majeshi, nyaraka za siri na kila kitu, vitu ni vingi. Wenzetu walio makini na nchi zao wanajua umuhimu wa masuala kama haya. Wanapata muda wa kufanya 'orientation' (uelewa wa mazingira), alisema Mbowe na kuongeza: “Ndiyo maana hapa kuna wakati watumishi wa Serikali wakaamua tu kuikumbatia CCM hata kama nao wameichoka, kwa sababu wanakuwa hawajui hatma yao ni nini kwenye Serikali au uongozi mpya, baada ya uchaguzi. “Ghana katika kipindi hicho cha mpito kutoka Serikali moja hadi nyingine wameweka utaratibu wa mamlaka inayoongozwa na mtu ambaye ni Jaji wa Mahakama ya Rufaa anasimamia rasilimali zote, nyaraka zote, zinakuwa zimeandikishwa, zinajulikana zikoje.” Alisema lazima hatari hiyo izuiliwe kwa kuwa wakati Serikali
    C hadema:Serikali iandae upinzani kuingia Ikulu SERIKALI imetakiwa kuandaa mfumo wa kikatiba ...
  • KATIBU WA CCM MBEYA AKOMBWA NA M4C PAMOJA DAIMA
    Aliyekuwa Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tawi la Isitu, Chimara mkoani Mbeya, Felix Komba...
  • Edward Snowden won't be pressured to end asylum, Russia says
    National Security Agency leaker Edward Snowden poses with German Green party parliamentarian Hans-Christian Stroebele in Moscow o...

Blog zinazovuma

  • KIJUKUU CHA BIBI K
    *Maafisa Ubalozi wa Norway wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa TAMWA-ZNZ mara baada ya kumaliza mazungumzo katika ofisi zilizopo Tu...
  • The Christian's voice
    *Photo Editor Free App Download For Pc*. Canva pro is free for all registered nonprofits. Instantly save and share your artwork on any social networking ...
  • Dina Marios(dm)
    Mwisho wa wiki hii kikundi cha Dina Care's tulitembelea kituo cha watoto yatima cha Veterani kilichopo Temeke na kushinda pia kupata nao chakula cha mchan...
  • A . JAY BLOG
    KUMEKUWEPO na vijineno vya chinichini kuwa eti ndoa ya msanii maarufu wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel aliyofunga hivi karibuni na Sunday Demonte haipo na ...
  • Mjengwa Blog::Habari,Picha,Matangazo

Wanaotembelea

NELSON MANDELA

NELSON MANDELA
Mwanaharakati na mpigania uhuru na mkombozi wa bara la Afrika

MWALIMU JULIUS K NYERERE

MWALIMU JULIUS K NYERERE
Mpigania uhuru mwanaharakati,mkombozi wa kweli,mwenye fikra pevu na mwana falsafa

Mitandao ya habari

  • BBC SWAHILI
  • CNN
  • IPP MEDIA
  • JAMIIFORUMS
  • MWANANCHI
  • NEW HABARI
  • RAIA MWEMA
  • STAR TV
  • TANZANIA DAIMA

Sikiliza muziki


Find more music like this on ThisIs50.com

Nifahamu

My Photo
Steven Elias
Musoma, Mara, Tanzania
Napenda sana kuongea na watu,mpole,nisiyekuwa na makuu...mpenda haki na mwanaharakati wa kweli..
View my complete profile
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
Hakimiliki © 2013 Steven KP | Inarushwa naGRANA BLOGS DESIGNER
Imetengenezwa na Syaga James | Mwonekano na GRANA BLOGS DESIGNER